Wednesday, May 18, 2011
Wednesday, May 11, 2011
Saturday, April 23, 2011
Saturday, January 08, 2011
Monday, December 27, 2010
Tuesday, December 01, 2009

Kwa wale ambao hawali sana mchicha, kwenye tangazo hili lililopo nje ya moja za ofisi zake Halimashauri ya manispaa ya Temeke inatuambia kuwa imedhamiri kuwa wakazi wote wa Manispaa; Wanawake kwa Wanaume wawe wameondokana na umasikini, wamepata Elimu, wanaishi katika maisha bora kwenye makazi na miundombinu bora chini ya Uongozi wa Kidemokrasia unaozingatia maadili ya Utawala bora na kuheshimu Umoja wa Kitaifa ifikapo.......2010 yaani Mwaka Kesho!
Subscribe to: Posts (Atom)
No comments:
Post a Comment